Paul Ngido na Asha Yahya  wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali waliowazaa watoto Keisha na Glory.
KATIKA hali ya kushangaza, wagonjwa wa mtindio wa ubongo, Paul Ngido na Asha Yahya wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali wakiwemo yatima cha Ngido kilichopo Mazimbu FK mkoani wamejikuta wakizaa watoto wawili, Keisha na Glory ndani ya kituo hicho.Mkurugenzi mkuu wa kituo hicho, Linda Cyprian Ngido amethibitisha kutokea kwa tukio hilo kwenye kituo chake na kusema kwamba huo nao ni msalaba anaotakiwa kuubeba.
Uwazi lilimuuliza mkurugenzi huyo kwa nini wazazi hao wasiruhusiwe kubariki ndoa na kuishi kama mume na mke, alijibu:

Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top