Siku ya kwanza atakuja na chupi 2, moja
anaifua
anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi
anaondoka...
Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa
usiku,asubuhi
anaianika nyuma ya mlango anaondoka...
Siku ya 3 anasahau pete na hereni juu ya meza
anakwambia 'Hny nitunzie nimesahau hereni
zangu
mezani'
Siku ya 4 anakuja na nguo 2 na vipedo vya
kubadilisha na viatu pea 2,anavua high heels
anaweka kwenye Shoe rack,asubuhi anaondoka
na
flat shoes kwenda chuo..
Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na
vitu
kadha wa kadha,na ole wako uvihamishe
alipoacha,kesi zinaanza...Hao ndo Wanawake
wa
kileo,akija na begi zima si utamuuliza Vipi
mwenzangu na utamkimbiza...Anahamia
taratibu..
Mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa
ina
perfume na mafuta ya Rays inakuwa imejaa
hereni
na 'Foundation'... My Brother,huna haja ya
kuuliza,NDO KASHAHAMIA HUYO....Kifuatacho
utaambiwa,''Honey I miss my days',Zamani
nilijua
ni Simu za mkononi tu ndo zina Missed
Calls,Siku
hizi kuna Missed days,ukiambiwa hivi tu jua
imekula kwako, inawindwa ndoa

Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top