Judge
Mahakama imetoa hukumu kwa Nahodha na jumla ya wenzake kumi na nne kwa kupatikana na hatia ya uzembe uliopelekea meli kuzama na kuua watu 300.
Nahodha Lee Joon-seok amehukumiwa kifungo cha miaka 36 kwa kosa hilo, Park ambaye alikuwa injinia wa meli hiyo amehukumiwa miaka 30, na wenzao kumi na watatu wamehukumiwa miaka 20 kila mmoja kwa kosa la uzembe uliopelekea vifo vya watu hao.
Nahodha

Ajali hiyo ilitokea Aprili 16 mwaka huu Korea Kusini, ambapo meli hiyo Mv Sewol ilipata ajali ikiwa na abiria zaidi ya 470, ambapo kati yao zaidi ya watu 300 walifariki wengi wao wakiwa ni wanafunzi.

Sewol

Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top