Hawa wanadada hakuna asiyewajua hawa bongo naamini hata nje ya bongo hii ni kutokana na style yao ya kucheza iliyopelekea mpka jeshi
la polisi kuingillia kati na kuwafungua kabisa kutojihusisha tena na mchezo wao huu, kwa upande mwingine inaweza kuwa ni sahihi kwetu sisi wenye wazizi wetu na maadili ila kwa wale akina nanii najua wanatamani sana kama polisi ingekuwa
yao ili wawaruhusu hawa madada kuendeleza mauno yao bila mifupa hata kuvua chupi zao jukwwaaani na kubaki uchi kabisa.
Je wewe kama wewe unalizungumzia vipi hili? 

Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top