Hivi karibuni kumekua na tetesi kibao zinazomuhusu Chibu a.k.a Diamond Platinumz kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwana dada 'Zari The boss lady' wa Uganda,wawili hao hawakuficha hisia zao za malavidavi kwa watu huku wakionekana sehemu tofauti tofauti, Platinumz ameamua kuthibitisha kwenye social network.
Kupitia mtandao wa instagram Diamond alipost picha anayo onyesha picha ya ultrasound yenye kuonyesha kiumbe tumboni na kuandika.
"i cant wait to have you on my hand" picha hii ina ashiria kwamba bwana Chibu Da Ngote muda wowote anaweza kuitwa baba na mwana dada Zari ndo aliyebeba ujauzito huo.

Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top