http://www.bongoclantz.com/
http://www.bongoclantz.com/
Kweli mfadhii mbuzi binaadam atakuuzi wewe ommy D leo ndo wa kumsupport dully na kumuacha Alikiba aliekutoa na Nai Nai??Ulipokuwa unataka utoke vipi ulitafuta mtu wa kukutoacna ukajua ni Ally Kiba sasa hivi unamuona mavii khaaa binaadam hapana hata kama ume base upande mmoja but usische mbachao kwa msala upitao ndo maana watu wengine maendeleo cyenu yanaishia chalinze kwa roho mbaya

Aliesema hapo juu huyo team sijui nini ni ukweli mtupu
dunia tunajifunza kutokana nacexperience saidia ndugu zako bora Ally K ulijionea ukamtoa mdogo wako maana wengine shukran kushnehi my momma told me they will be things like this...
[Ushauri wa bure! Saidia ndugu zako kuliko marafiki wa siku hizi waliojaa unafik

Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top