Hatimaye Wema Sepetu kaamua kufunguka kuhusu Ugomvi Wake na Kajala. Yaani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho.

Amedai Kajala ni miongoni mwa marafiki wabaya aliowahi kuwa nao na kasema anajuta sana kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.Msikilize mwenyewe akionge...

KWA KUPATA HABARI WA KWANZA KILA SIKU BOFYA HAPA CHINI


Shiriki nasi kwa kutoa maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog

Post a Comment

 
Top