Taarifa kutoka gerezani zinahusu Oscar Pistorius kugoma kula chakula cha gerezani kutokana na hofu kwamba wafungwa wenzake watamuwekea sumu.
Oscar ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitano kwa kosa na kumuua bila kukusudia mpenzi wake Reeva Steenkamp amegoma kuendelea kula chakula cha gerezani ambapo mgomo huo alioufanya umemfanya mwili wake kudhoofika.
Facebook Blogger Plugin by Michapo Blog
Post a Comment